Saturday, 26 July 2014

HOJA YA SUAREZ KUSIKILIZWA WIKI YA PILI MWEZI AUGUST (CAS)


CAS to make Suárez ruling in second week of August

Mahakama ya usuluhishi ya Michezo CAS imekubari kusikiliza rufani ya mshambuliaji wa Zamani wa Liverpool ambaye kwa sasa amesajiliwa na 
 Barcelona na Italoea maamuzi katika wiki ya pili ya Mwezi wa Nane  .

Kwa mujibu wa Adhabu iliyotolewa na Shirikisho la kimataifa la soka Fifa katika kamati yake ya Nidhamu , Suárez amefungiwa kucheza mechi za kimataifa kwa mechi tisa na kutoruhusiwa kujishughurisha na maswala yoyote yanayohusiana na mpira wa Miguu ikiwemo kwenda kutazama mpira kiwanjani kwa muda wa Miezi minne".

Katika maamuzi yaliyotolewa na Fifa kuhusu Suarez , FIFA ilimkuta na hatia Mshambuliaji huyo kwa kuvunja Kifungu   48, Para ya Kwanza 1, sehemu ya Nne d katika sheria za nidhamu za Fifa (FDC) (Uzalilishaji),na kifungu cha  57 (Kinachosimia tabia zisizokubarika uwanjani kwa mchezaji mwenza ).

No comments:

Post a Comment