Saturday, 26 July 2014

MAXIMO BILA BARUA HATUCHEZI KAGAME(MSIKILIZE LIVE AKIONGEA)




Kocha mkuu wa klabu soka ya Yanga amesema hawatoshiriki michuano ya Kombe la Kagame mpaka watakapopata Barua Rasmi ya Mwaliko kutoka Katika  Baraza la vyama vya soka Afrika Mashariki na kati CECAFA akizungumza katika Mazoei ya Timu hiyo katika shule ya Sekondari ya Loyola iliyopo mabibo Marcio Amesema kwa sasa anajiandaa kwa Kila kitu bila kujari watashiriki au kutoka shiriki michuano hiyo.

Aidha amewapasha wachezaji wenye Majina  kuwa wasitegemee majina yao kuwa yatawabeba katika klabu hiyo na Badala yake wajikite katika mazoezi ndipo atakapochagu wachezaji hata katika michuano ya Kombe la Dunia timu zilizotegemea Mchezaji Mmoja mmoja hazikufua Dafu katika soka mwaka huu .

MALINZI ASIKITSHWA NA MKOA WA RUVUMA !UNA WAAMUZI NANE TU (SIKILIZA RADIO)


 

Rais wa Tff Jamali amesikitishwa na hari ilivyo katika mkoa wa Ruvuma kuwa na waamuzi nane tu licha kuwa na wilaya nyingi kama Mbinga,Mbambay,Tunduru,Peramiho na Namtumbo ,Songea Vijini Na Mjini ,Wilaya ya Nyasa ,Nyinginezo kuwa anashindwa kuelewa walipitaje hadi kufika katika viwango vya Fifa amesema hayo alipokuwa akifunga semina ya Waamuzi watakaochezesha Ligi kuu Tanzania bara na Zanzibar .
BOFYA

Aidha kuna waamuzi watatu ambao wamehusika katika upangaji wa matokeo ambapo Rais wa Tff amesema kosa hilo ni la kimataifa na amesema kuwa atatoa ushirikiano kwa shikirisho la kimataifa Fifa 
BOFYA

Aidha Baadhi ya waamuzi ambao wamefanikiwa kufuzu katika semina hiyo walikuwa na haya ya kuzungumza 
BOFYA

No comments:

Post a Comment