Simba leo imefanikiwa kumnasa mshambuliaji Paul Modo Kiongera aliyekuwa akikipiga KCB ya Kenya.
Raia huyo wa Kenya alionyesha uwezo mkubwa katika mechi ya kirafiki dhidi ya Zesco ambayo Simba ililala kwa mabao 3-0, juzi Jumamosi.
Hivyo Kiongera amewapiku wengine wawili, Ousimane Manneh wa Gambia na Jerome Rama ambao waliitaka nafasi hiyo moja ya mchezaji wa kimataifa iliyokuwa imebaki.
No comments:
Post a Comment